Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Tuesday, June 18, 2013

Mbunge Wa Ccm Nkassi Mwenye Tabia Ya Kusema Ovyo Atoa Mpya Tena Bungeni

BUNGENI ............ Mbunge wa Nkassi Kaskazini Ali Mohamed Keissy ANAKINUKISHA BUNGENI ........ ANATAKA WALE WOTE WALIODHURUMU SHIRIKA LA NDEGE WAFUFULIWE HATA KAMA WAMEKUFA ILI MIFUPA YAO ISAGWE SAGWE IWE HUKUMU YAKO;;; (rekodi aliyonayo mbunge huyu aliwahi kusema kuwa endapo serikali haitapeleka maji jimboni kwake atawabeba kwenye gari wanawake ambao hawajaoga kwa muda wa siku tatu na kuwapeleka bungeni ili wakakinukishe kikwapa mjengoni)PIA NI WIKI ILIYOPITA TU ALIULIZA KAMA ILE GESI YA MTWARA NI YA KUJAMBA AMA LAA..........
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...