
Akiendelea kupata nafuu baada kushambuliwa.

Akiendelea kupata nafuu baada kushambuliwa.
![]() |
Mbunge wa Kasulu Mjini (NCCR), Moses Machali akiwa amelazwa wodini. |
![]() |
Akiendelea kupata
nafuu baada
kushambuliwa.
|
![]() |
![]() |
Kamanda wa Polisi
mkoani Dodoma,David Misime akizungumza na waandishi wa habari mjini humo jana
kuhusu tukio la Mbunge wa Kasulu Mjini (NCCR) Moses Machali kuvamiwa na vibaka
eneo la Area E juzi
|