Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Sunday, June 23, 2013

KATIBU WA MBUNGE WA ARUSHA MJINI MH. GODBLESS LEMA ALIYENUSURIKA KUFA...!

Huyu ndiye katibu wa mbunge wa arusha mjini Mh. Godbless Lema aliyenusurika kufa kwa bomu wakati wakiwa kwenye mkutano wa CHADEMA uliofanyika katika viwanja vya Soweto jijini Arusha, ambapo inasemekana bomu hilo lilisababisha vifo vya watu watatu na majeruhi zaidi ya sitini. kwa sasa katibu wa Mh. Lema bado yupo hospital ya Selian lakini afya yake inaendelea vizuri.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...