Video hii ya saa moja na nusu ya mkutano mzima wa CHADEMA uliofanyika katika viwanja vya Soweto mkoani Arusha uliofanyika siku ya Jumamosi tarehe 15 Juni 2013, siku ambayo palitokea mlipuko na shambulio jioni punde tu baada ya kuhitimishwa kwa hotuba za viongozi mbalimbali, imewekwa youtube na Jesse R.
Saturday, June 22, 2013
CHADEMA WAANZA KUTOA USHAHIDI WAO .... IONE VIDEO NZIMA YA MKUTANO WA CHADEMA ULIPOTOKEA MLIPUKO WA BOMU AMBAYO ILIAHIDIWA KUWEKWA MTANDAONI HII HAPA
Video hii ya saa moja na nusu ya mkutano mzima wa CHADEMA uliofanyika katika viwanja vya Soweto mkoani Arusha uliofanyika siku ya Jumamosi tarehe 15 Juni 2013, siku ambayo palitokea mlipuko na shambulio jioni punde tu baada ya kuhitimishwa kwa hotuba za viongozi mbalimbali, imewekwa youtube na Jesse R.