Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Friday, June 28, 2013

BUNGE LA BAJETI LINAHITIMISHA MKUTANO WAKE LEO

Hatimaye Leo asubuhi Bunge limepitisha mswada wa fedha ikiwa ni sehemu ya shuguli ya mwisho katika mkutano wa bunge la bajeti ulioanza mwezi aprili mwaka huu.Takribani zaidi ya  60 bunge lilikuwa katika vikao vyake vya kujadili bajeti za wizara mbalimbali pamoja na bajeti ya serikali.Bunge hili lilianza kwa mvutano na mikwaruzano ya hapa na pale baina ya wabunge hao lakini kutokana na busara za viongozi wa bunge hilo leo linahitimisha mkutano wao,

Waziri wa fedha alliyesoma bajeti ya serikali mwezi huu
Moja ya picha ya mkwruzano uliotokea bungeni katika mkutano huu wa bajeti hali iliyosababisha wabunge wa watano wa chadema kufungiwa 
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...