ANGALIA PICHA ZA MSANII DIAMOND AKIFUAHIA MANDHARI YA NCHI YA COMORO
Picha hizi mbili zikimuonesha Msanii Diamond Platnumz akiwa nchini comoro akibalizi mandhari ya nchini humo.. Picha hii Diamond amepost kupitia mtandao wake wa Instagram na chini aliandikia maneno haya ''Breezin' by the pool side before Hittin' the Stage tonight in Comoro''Picha Nyingine alipost kupitia tena mtandao wake wa Instagram
kupitia account yake inayoenda kwa jinala Diamond Platnumz akiwa na
Dancers wake wakonekana wakiwa kwenye bwawa la maji la kuogelea
kwenyehotel waliyofikia inayoenda kwa Jina la Retaj Moroni Hotel
Picha
hii akiwa na silaha za maangamizi stejini kutoka kushoto ni Dumi
Utamu,Diamond Platnumz,Rama Tonser&Emma Platnumz.....kwa mbali
unaona nini mtu mzima Platnumz kashika nini...hahaha ushajua sio kitu
cha kuuliza...