Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Friday, May 24, 2013

VAN PERSIE AKABIDHIWA KIATU CHAKE CHA DHAHABU

Mshambuliaji wa timu ya manchester united Robin Van Persie Amekabidhiwakiatu cha dhabu akiwa mfungaji bora wa ligi kuu england msimu wa 2012/2013 kwa kufunga magoli 26 Kwa msimu huu.Mchezaji huyo kutoka uholanzi amechukua kiatu hicho msimu wa pili mvululizo ambapo mwaka jana alichukua akiwa anaichezea timu ya arsenal kabla ya kuhamia manchester united msimu huu,

Vana persie amefanikiwa kufunga magoli 26 akiwa amecheza dakika 3330,Amesaidia kupatikana kwa magoli mengine 15,Amecheza michezo 38 Amefunga magoli 18 kwa mguu wa kushoto na magoli 8 kwa mguu wa kulia na kwa kichwa goli 1
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...