Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Sunday, May 19, 2013

TASWIRA MBALIMBALI ZA MPAMBANO WA SIMBA NA YANGA JANA

Refa Martin Saanya kushoto akimdhibiti mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbangu asipigane na beki wa Simba SC, Nassor Masoud 'Chollo' kulia mbele ya kocha wake, Mfaransa, Patrick Liewig wakati wa mchezo wa kufunga pazia la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Taia, Dar es Salaam jioni ya leo. Katika tukio hilo, refa aliumia na kutibiwa kwa dakika tatu. Yanga ilishinda mabao 2-0. 
Wachezaji wa Yanga na Kombe lao baada ya mechi
Haruna Chanongo kushoto akimtoka David Luhende
Chanongo akikokota mpira pembeni ya Luhende
Luhende na Chollo
Abadallah Seseme akijaribu kupasua katikati ya Athumani Iddi 'Chuji' na Frank Domayo
Mbwembwe za Mrisho Ngassa leo
Frank Domayo anakwenda na mpira
Mwinyi Kazimoto akimtoka Kevin Yondan
Haruna Chanongo akitafuta mbinu za kuwatoka Nadir Haroub 'Cannavaro' na Mbuyu Twite
Mwinyi Kazimoto anakwenda
Athumani Iddi 'Chuji' akimiliki mpira mbele ya Amri Kiemba
Yanga na shangwe za ubingwa
Chuji na Kiemba...
11 walioanza Simba SC leo
11 walioanza Yanga SC leo
Wachezaji wa Simba SC waliingia moja kwa moja na kwenda kuzunguka kibendera kisha kurejea chumbani kwao
Amepatia; Lakini matokeo tu, kwa mshindi amechemsha ilikuwa kinyume
Swaga za mashabiki wa Yanga SC
Ujumbe wa Ngassa
Ngassa mwingine alikuwa jukwaani
Yanga SC ina mashabiki hadi Wazungu
Shabiki
Rais wa TFF, Leodegar Tenga akimvalisha Medali Nahodha wa Yanga SC, Nadir Haroub 'Cannavaro'
Swaga za mashabiki wa Yanga SC
Kigogo wa Yanga SC, Seif Ahmad 'Magari' akiwa amebeba Kombe na kushoto na Simon Msuva
Ameopoa; Mwenyekiti wa kamati ya Ushindi Yanga SC, Abdallah Bin Kleb akiwa na shabiki wa Yanga aliyeigiza kama Mlezi wa Simba SC, Mama Rahma Al Kharoos maarufu kama Malkia wa Nyuki 
Wakili Said El Maamry akisalimiana na Ngassa
Refa Mrtin Saanya akiangalia saa yake mara baada ya kuinuka kutoka kutibiwa kabla ya kumaliza mpira
Refa Saanya hoi chini
Jopo la Madaktari likimuangalia refa Sanya baada ya kumtibu
Alitamani aingine uwanjani kucheza; Nahodha wa zamani wa Simba SC, Suleiman Matola jukwaani
Tenga akimvalisha Medali mtoto wa Haruna Niyonzima kwa niaba ya baba yake
Mzee El Maamry akimvalisha Medali Frank Domayo
Wauwaji; Tenga akimvalisha Medali, Hamisi Kiiza huku Didier Kavumbangu naye akijiandaa kuvalishwa
Kuna wakati Juma Kaseja aliumia na kutishia amani uwanjani, baada ya kuokoa shuti la mpira wa adhabu wa Nizar Khalfan. Kaseja alijaribu kudaka, lakini mpira ukampita na kugonga mwamba kisha ukarudi kumgonga kisogoni, ndipo akaanguka na kuonekana kama aliyepoteza fahamu. 
Didier Kavumbangu akitafuta mbinu za kumtoka Shomary Kapombe 
Didier Kavumbangu kulia na Haruna Niyonzima kushoto wakimdhibiti Mrisho Ngassa
Yanga na Kombe lao...raha iliyoje
CREDIT: BIN ZUBEIRY

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...