Mwenyekiti
Wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifungua semina maalum ya
wabunge wa CCM ilkiyofanyika katika ukumbi wa White House mjini Dodoma
leo.Wengine katika picha kutoka kushoto ni Spika wa bunge Anna Makinda,
Katibu wa Wabunge wa CCM Jenista Mhagama, Waziri mkuu Mizengo
Pinda,Makamu wa CCM Bara Ndugu Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM
Ndugu Abdulrahman Kinana(picha na Freddy Maro)
Baadhi ya wabunge wa CCM waliohudhuria semina maalum iliyofanyika katika ukumbi wa White House mjini Dodoma leo.