Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Sunday, May 19, 2013

Rais Kikwete afungua na kuongoza semina ya Wabunge wa CCM Dodoma

Mwenyekiti Wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifungua semina maalum ya wabunge wa CCM ilkiyofanyika katika ukumbi wa White House mjini Dodoma leo.Wengine katika picha kutoka kushoto ni Spika wa bunge Anna Makinda, Katibu wa Wabunge wa CCM Jenista Mhagama, Waziri mkuu Mizengo Pinda,Makamu wa CCM Bara Ndugu Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana(picha na Freddy Maro)8E9U6446Baadhi ya wabunge wa CCM waliohudhuria semina maalum iliyofanyika katika ukumbi wa White House mjini Dodoma leo.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...