Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Sunday, May 19, 2013

PICHA: DAVID BECKHAM ALIVYOAGWA KWENYE MECHI YA MWISHO BAADA YA KUTANGAZA KUSTAAFU


David Beckham na familia yake katika mechi yake ya mwisho kuichezea PSG baada ya kutangaza kustaafu soka.

David Beckham akiagana na kocha wake Carlo Ancelloti 

Machozi yakimtiririka David Beckham wakati uwanja mzima uliposimama kumuaga


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...