Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Friday, May 3, 2013

Obama asema atafanya majaribio mengine ya kulifunga gereza la Guantanamo Bay

Rais Barack Obama wa Marekani ametangaza kuwa, atafanya majaribio mengine ili kufunga gereza la Guantanamo Bay ambalo watuhumiwa wenye msimamo mkali wa kidini wanashikiliwa. 

Obama amesema amepeleka tume ya maofisa kushughulikia suala hilo, na atalifikisha tena suala hilo mbele ya bunge. 

Hata hivyo Obama hajapata njia mpya ya kuondoa vizuizi bungeni dhidi ya juhudi zake za kufunga jela hiyo.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...