Rais Jakaya Kikwete akimsikiliza kwa makini Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti, Raphael Mwamoto wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wakati alipotembelea banda la NHIF ambalo linatoa huduma ya upimaji afya bure na elimu ya Bima ya Afya.
Rais Dkt. Jakaya Kikwete akiwa na kitabu cha mtindo bora wa maisha ambacho kinafundisha namna ya kusihi ili kuepukana na maradhi yasiyoambukiza ambayo yanazidi kuongezeka kila kukicha.
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akifurahi jambo na Ofisa Elimu kwa Umma, Grace Michael alipotembelea banda la Mfuko.
Waziri Kabaka akipima shinikizo la damu kwenye banda la NHIF ambalo lilitoa huduma bure