Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Saturday, May 4, 2013

LINEX AKATAA KUFUNGA NDOA KWA FASHENI



Akichezesha taya na paparazi wetu juzikati, Linex alisema kwa sasa yeye na mchumba wake Mzungu aitwaye Suvi Rikka bado wanasomana na kila mmoja akisharidhika na tabia ya mwenzake ndipo suala la ndoa litafuata.
“Mimi sitaki kuoa kwa fasheni eti kwa kumfuata mtu f’lani na sitaki kufunga ndoa leo halafu kesho imevunjika, nataka mimi na mke wangu tuishi milele,” alisema Linex.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...