

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akijibu maswali Bungeni Mjini Dodoma, May 16, 2013. 

Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi, Harison Mwakyembe akisoma Hotuba ya Bajeti ya Wizara hiyo, Bungeni Mjini Dodoma, May 16, 2013

 Waziri
 Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa 
Mtaifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), Joyce Mends-Cole kabla ya 
mazungumzo yao, ofisini kwa Waziri Mkuu Mjini Dodoma , May 16,2013. 

 Waziri
 Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mwakilishi wa Shirika la Kuhudumia 
wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR), Joyce Mends-Cole, Ofisini kwa 
Waziri Mkuu, Mjini Dodoma May 16, 2013.

 Waziri
 Mkuu, Mizengo Pinda akipata Maelezo kuhusu mizinga ya nyuki 
 iliyofinyangwa kwa udongo kutoka kea Mkurugenzi wa Shirikala African 
SoilHives Technology la mafinga Iringa, Donald Kalinga (kushoto) kwenye 
makazi yake Mjini Dodoma May 14,2013. Wengine pichani kutoka kushoto ni 
Farida Mgalama, Tekla Pila na Beather Mkono, wote ni wananchama wa 
Shirika hilo

  Watalaamu
 wa nyuki kutoka Kampuni ya National Beekeeping Supplies Limited ya 
Dodoma, David Kamala  (kushoto) na Abubakar Salum wakilina asali kwenye 
shamba la ufugaji nyuki na kilimo la Waziri Mkuu, Mizengo Pinda lililopo
 Zuzu Mjini Dodoma, May 15, 2013 usiku. Mzinga mmoha ulitoa wastani wa 
lita 10 za asali.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu 



