Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Friday, May 3, 2013

Jose Mourinho akubali kurejea Chelsea, kutangazwa rasmi July 1

JOSE MOURINHO amekubali kurejea kiunoa tena klabu ya Chelsea ya nchini Uingereza.Hata hivyo anatarajiwa kutangazwa rasmi July 1.
jose-mourinho-braun-ambassador-small-1027114591
Mpaka muda huo kocha huyo aliyewahi kuinoa Chelsea na ambaye kwa sasa yupo Real Madrid hataweza kuongea hadharani kuhusu deal hiyo. Mourinho bado ana mkataba na Real lakini atarejea Stamford Bridge kwa kitita cha paundi milioni 10 kwa mwaka.
SunSport iliripoti kuwa mmiliki wa Blues tajiri Roman Abramovich alionekana hivi karibuni kwenye dinner na kocha huyo kwneye mgahawa wa La Famiglia, Chelsea. Mchezaji Wesley Sneijder, aliyenolewa na Mourinho Inter Milan, aliwahi kusema kuwa kocha huyo anaipenda sana Chelsea.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...