
Habari za
kuaminika kutoka kwa Ndugu wa karibu wa Mh. Naibu Waziri Philip
Mulugo anayeshughulikia maswala ya elimu hapa nchini kwa sasa matokeo
yaliyofutwa yanatarajia kutangazwa kesho baada ya kukamilika kwa
marekebisho ya upangaji mpya wa madaraja.



