Kutokana na
kukidhiri kwa vitendo vya wizi kwenye makaburi,familia ya marehemu mdaku
imeamu kuweka mlinzi kulinda kaburi la mpendwa wao nyakati za usiku kwa
lengo la kulinda vitu mbali mbali vya dhamani zilivyomo kwenye
kaburi la mpendwa baba yao. Akihojiwa
na audifacejackson blog wa habari hizi mgambo huyo aliyejitambulisha
kwa jina la Mganga Chigillo aliuthibitishia kupewa kazi ya kulinda
kaburi hilo vyakati za usiku kwa lengo la kupambana na vikaba wenye
tabia ya kuvamiamakaburini vyakati za usiku na kuimba vitu mbali mbali.
Mgambo
huyo akitoa maelezo kwa familia ya mzee Mdaku,kulia ni mke wa marehemu
na kushoto ni mtoto wa kwanza wa marehemu akiwa na mumewe..
Mgambo akielezea zaidi alimwambia audifacejackson blog Nikweli
nalinda kaburi la mzee mdaku na kwamba kazi hiyo sio nyepesi mfano jana
majira ya saa nanne usiku nimeshuhudiakundi la watu wake kwa waume
wakiwa wamevamia nguo nyeupe wakizunguka kwenye makaburi .lakini kwa
ujasiri sikukimbia badala yake niliendele kugonga pombe yangu aina ya
konyagi niliweka dhana zangu jirani kama wangenilitea noma ningepambana
nao kwa bahati nzuri walipomaliza shughuri zao waliondoka zao bila
kusogea kwenye kaburi hili" alisema Mgambo huyo mwenye mke na watoto kadhaa.
Padri akizungumza na Mgambo huyo nje ya kaburi hilo
Maneno haya ya busara yaliwekwa nyumba ya msaraba uliopo kwenye kaburi la mpendwa wetu Mzee Mdaku
Baada
ya kuhojiwa na mwandishi wa habari hizo Afande huyo alitoa rundo la
viroba mfukoni na kudai kwamba kitu hicho ndichon pekee kinachompa
ujasili wa kukaa makaburini usikukucha
Baada
ya kugonga viroba mfurulizo afande huyo alijikuta akiuchapa usingine
wakati shughuri zikiendele kama alivyonaswa na kamera za Mtandao huu.