Babu wa Loliondo aliweza ku hit katika kutumia 'Kikombe' kutibu watu na inasemekana baadhi walipona na baadhi hawaku pona.
Huyu ni mmoja wa waganga nchini Kenya ambaye na yeye ameamuwa kutumia kikombe kutibu wananchi nakushindwa kufanikisha, zaidi ya kusababisha wauguwe na kupelekea maisha yao hatarini.
Wananchi wa eneo hilo ndipo walipo mgeuzia kibao na kuanza kumpa kichapo cha maana. Tazama video hapa