Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Wednesday, July 17, 2013

Video: Baada ya shabiki wa Arsenal Vietnam kukimbiza gari la wachezaji kwa zaidi ya KM 5 hatimae apewa shavu lakuingia kwenye gari na kupiga nao picha



Baada ya wachezaji wa Arsenal kudondoka Asia kwenye tour yao ya 2013, wakiwa Vietnam walikutana na kijana ambae iliwalazimu kumpa nafasi ya kupanda kwenye gari lao lililojaa wachezaji pamoja na kocha wa timu hiyo "Wenger" na kupiga nae picha huku wakimshangilia kwa makofi baada ya kukimbiza gari hilo kwa zaidi ya kilometa 5
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...