Baada ya wachezaji wa Arsenal kudondoka Asia kwenye tour yao ya 2013,
wakiwa Vietnam walikutana na kijana ambae iliwalazimu kumpa nafasi ya
kupanda kwenye gari lao lililojaa wachezaji pamoja na kocha wa timu hiyo
"Wenger" na kupiga nae picha huku wakimshangilia kwa makofi baada ya
kukimbiza gari hilo kwa zaidi ya kilometa 5
Wednesday, July 17, 2013
Video: Baada ya shabiki wa Arsenal Vietnam kukimbiza gari la wachezaji kwa zaidi ya KM 5 hatimae apewa shavu lakuingia kwenye gari na kupiga nao picha
Labels: ARUSHA ONE
michezo kimataifa