Then
wakichukua yakifika magari10 hadi 15 hadi 20 wanayaendesha na madereva
wao wanayatorosha nje ya Tz,Rwanda, Burundi, Zambia, congo nk!! Watu
wameshalizwa jaman kwa kuibiwa magari ya kifahari na hata mm wamenifuata
watu wa namna hii kunipa hili deal, nikakataa! So guys be careful with
these sweet deals!
Chanzo: Mdau-Haika Lawere