Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Thursday, June 6, 2013

PICHA: M 2 THE P AMUAGA NGWAIR KWA MACHUNGU

M2 THE P amefanikiwa kutoa salamu zake za mwisho kwa rafiki yake kipenzi ambaye alikuwa naye huko Afrika kusini tena walikuwa ndani ya chumba kimoja kabla ya mauti kumkuta Ngwea..Mwanzoni, M 2 THE P alikuwa amefichwa na kudanganywa kuwa Ngwea alikuwa ametangulia Tanzania. Baadaye Maggie alilazimika kumweleza ukweli
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...