Hii ni exclusive interview imefanywa
toka Fresh120 Media , Nisher ameamua kufunguka na kuamua kuzungumzia juu
ya utengenezaji wake wa video kuanzia mfumo mzima wa utengenezaji ,
matayarisho na pia Idea kubwa ya yeye kufika hapo alipo sasa,
Pia Nisher amewezakuzungumzia juu ya
comments ambazo zimekuwa changamoto kwake , amechambua kwanini ana mfumo
wake wa kipekee katika utengenezaji wa Video .
Pata kusikia Mahojiano Toka kwa Nisher na Mdau wa Fresh120Media
Pata kusikia Mahojiano Toka kwa Nisher na Mdau wa Fresh120Media