Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Sunday, June 30, 2013

MWANAUME AKATWA MAPANGA AKIDAIWA KUCHUKUA MKE WA MTU HUKO TABORA

Ramadhani Mahanga ambaye amenusurika kuuawa baada ya kukatwakatwa mapanga na kijana mwenzake anayefahamika kwa jina la Juma Hamisi ambaye alidai anatembea na mkewe na hivyo kuchukua uamuzi wa kutaka kumuua katika kijiji cha Isenga manispaa ya Tabora.
Baba wa kijana Juma Hamisi ambaye anadaiwa kumkatakata mapanga Ramadhani Mahanga akiwa amekwenda kumjulia hali katika Hospitali ya mkoa wa Tabora Kitete ambako amelazwa kwa ajili ya matibabu.

NA KAPIPIJ
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...