Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Monday, June 10, 2013

KAMPENI ZA UDIWANI IFAKARA CCM YAFUNIKA

 Mwenyekiti wa ccm mkoa wa morogoro na Mbunge wa Morogoro kusini Mh Innocent Kalogeris akisikiliza kwa makini sera hotuba ya mbunge wa kilombero mh Abu Mteketa wakati wa kampeni ya kumnadi mgombea wa udiwani kata ya ifakara Ndugu Benjamini masepo mkutano uliofanyika kata ya ifakara.
Mgombea wa udiwani kwa chama cha mapinduzi Ndugu Benjamini Masepo aliyevaa kofia ya njano akiwa katika mkutano huo wa kampeni leo ifakara mjini.
 Mwenyekiti wa ccm mkoa wa morogoro na Mbunge wa Morogoro kusini Mh Innocent Kalogeris akimnadi mgombea wa udiwani wa kata ya ifakara mjini,Mh kalogeris amewaasa wananchi wa kata hiyo kuichagua ccm ili kutekeleza yale yote waliyowaahidi wakati wa kampeni za uchaguzi.Uchaguzi huo umekuja kutokana na kifo cha aliyekuwa diwani wa kata hiyo kufariki.
 Wabunge wa morogoro waheshimiwa Sarah Msafiri na Dk Haji Ponda wakiwa katika mkutano huo wa kampeni ifakara mjini
Umati uliojitokeza katika mkutano huo leo
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...