Kamishna
Jenerali wa Magereza Nchini, John Casmir Minja akimvisha cheo cha
Mkaguzi Msaidizi wa Magereza Mwanafunzi Na 2623 S/SGT Clementina Nzunda
kwa niaba ya Wahitimu waliomaliza Mafunzo ya Uongozi Daraja la Pili
katika Chuo cha Udereva na Ufundi Kingolwira, Morogoro.
Kamishna
Jenerali wa Magereza Nchini, John Casmir Minja (aliyeko katikati) akiwa
katika picha ya pamoja na baadhi ya wahitimu wa Kozi ya Uongozi daraja
la pili na Kozi ya Ukuu wa Kambi(RSM) Mara tu baada ya kufunga Mafunzo
hayo
Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini, John Casmir Minja akisikiliza Risala ya wahitimu wa Mafunzo ya Uongozi