Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Sunday, June 30, 2013

HIZI NDIZO VURUGU ZILIZOTOKEA AFRIKA YA KUSINI KUPINGA UJIO WA RAIS BARACK OBAMA

Mmoja wa waandamanaji wanaopinga Rais Barack Obama kuja Afrika ya Kusini akipiga teke picha ya Obama
 Baadhi ya waandamanaji wakiwa na mabango 

Waandamanaji wakiwa wameshikiliwa na polisi
 Askari wakirusha mabomu ya machozi na raia wakirusha mawe wakipinga ujio wa Rais Barack Obama kwamba amekuja wakati Mzee Nelson Mandela yuko hospitalini.
 Vurugu zikiendelea
 Maaskari wakikwepa mawe yaliyokuwa yanarushwa na waanchi wanaopiga  ujio wa Barack Obama nchini mwao
Na hawa watoto walikuwa wanapinga ujio wa Rais Barack Obama
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...