Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Friday, June 21, 2013

BREAKING NEWS..! NDEGE NDOGO YADONDOKA ZIWA VICTORIA BAADA YA KUSHINDWA KURUKA JIJINI MWANZA

Pichani ni taswira ya awali ya ndege iliyopata ajari ya wakati wa harakati za kutaka kuruka na kupelekea kufeli na kudondokea ndani ya Ziwa Victoria Jijini Mwanza.
Habari zilizotufikia hivi punde kutoka kwa mdau wetu wa Mwanza Bahati Ngassa, Ni kwamba kuna ndege iliyokuwa katika hatua za kuanza kuruka katika Airpot ya Jijini Mwanza na ikafeli na kudondoka ndani ya ziwa Victoria.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...