Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt. Emmanuel John Nchimbi(kulia) akimkabidhi kitendea kazi(Sheria za Parole) Mwenyekiti Mpya wa Bodi ya Taifa ya Parole, Eusebio Munuo. Kushoto ni Kamishna Jenerali wa Magereza(Picha zote kwa Hisani ya Dawati la Habari Makao Makuu ya Magereza).
Friday, June 21, 2013
BODI YA PAROLE YAZINDULIWA
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt. Emmanuel John Nchimbi(kulia) akimkabidhi kitendea kazi(Sheria za Parole) Mwenyekiti Mpya wa Bodi ya Taifa ya Parole, Eusebio Munuo. Kushoto ni Kamishna Jenerali wa Magereza(Picha zote kwa Hisani ya Dawati la Habari Makao Makuu ya Magereza).