HATIMAYE
Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(Chadema) Wilfred Lwakatare amepata dhamana katika kesi ya kutuhumiwa
kumpa sumu Mhariri Mtendaji wa magazeti ya Mwananchi, Dennis Msaki.
Dhama hiyo imetolewa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar
es Salaam, baada ya kipindi cha miezi inayokaribia mitatu tangu
kukamatwa kwake na mtuhumiwa mwenzake, Ludovick Joseph.
NA GLOBAL PUBLISHER