Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Sunday, May 26, 2013

YALIYOJIRI KWENYE TAMASHA LA NYIMBO ZA MAKABILA KWENYE VIWANJA VYA LEADERS CLUB HAPO JANA

 Waongozaji wa Tamasha hilo, Suzzy Bartazar (kushoto) akiwa na Mbwiga Mbwiguke , wakitoa updates kwa wananchi waliokuwa wakiangalia Clouds TV wakati wa kusherehesha Tamasha hilo la Nyimbo za Makabila.
Kikundi cha Kitamaduni kikitoa burudani
Sehemu ya watazamaji waliojitokeza kushuhudia Tamasha hilo.
 Burudani ikiendelea
 Hata watu wa magic nao walikuwepo kuonesha huasili wao
 Mc Mbwiga Mbwiguke akiwa kazini
Msanii kutoka Bukaba, Maua akitoa burudani kwenye Tamasha la Nyimbo za Makabila



Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...