Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Thursday, May 23, 2013

Ripoti ya Tume ya Maridhiano yawataja Kenyatta, Ruto

Viongozi wa ngazi za juu nchini Kenya, wakiwemo Rais Uhuru Kenyatta na Makamu wake William Ruto, ni miongoni mwa waliopendekezwa kushtakiwa katika ripoti ya kushtusha iliyotolewa na Tume ya TJRC. 
 
Kutoka mjini Nairobi Sudi Mnette amezungumza na Profesa Ezebio Wanyama ambaye pamoja kuwa mwanasheria wa kimataifa pia ni mchambuzi katika  medani ya  kisiasa alejikita katika masuala ya ICC. Kwanza alitaka kujua umuhimu wa ripoti hiyo. Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...