Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Thursday, May 23, 2013

MKUTANO WA MABADILIKO YA TABIA YA NCHI WAFANYIKA VISIWANI ZANZIBAR

DSCF0633 
Bw Sihaba Vuai afisa mazingira ofisi ya makamu wa kwanza wa rais zanzibar akizungumza kuhusu hali ya mazingira ya zanzibar na madhara yatokanayo na mabadiliko ya tabia nchi katika mkutano wa kamati ya kitaifa ya wataalam ya mabadiliko ya tabia nchi unaoendelea mjini zanzibar
Wanakamati ya kitaifa ya kitaalam ya mabadiliko ya tabia nchi wakimsikiliza mtoa mada hayupo pichani katika mkutano unaoendelea mjini zanzibar (Picha na Evelyn Mkokoi)
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...