Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Monday, May 27, 2013

FEZA KESSY NA NANDO HIVI NDIVYO WALIVYOIPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA NDANI YA BIG BROTHER AFRICA:


Mwakilishi kutoka Tanzania Nando akihojiwa na Mtangazaji wa kipindi hicho Ik wakati wa uzinduzi wa show hiyo.Kushoto patna wa Nando Mshiriki kutoka Namibia Cleo.

Mwakilishi wa Tanzania Feza Kessy akiwasalimu mashabiki wake kwa kuwapungia bendera ya Tanzania. Kulia ni mtangazaji wa Shindano la Big Brother The Chase 2013 Ik.

Mtangazaji IK akifanya mahojiano na Patna wa Mwakilishi wa Tanzania Mshiriki kutoka Ghana Elikem wakati wa uzinduzi wa Shindano la Big Brother The Chase lililozinduliwa rasmi jana jijini Johannesburg Afrika Kusini ambapo washiriki watakaa ndani ya jumba hilo kwa siku 90 na mshindi 
kujinyakulia kitita cha Usd 300,000. Kulia ni Feza Kessy mshiriki 
kutoka Tanzania.

Mtangazaji IK akimtambulisha rasmi mshiriki kutoka Tanzania Feza Kessy kwa Patna wake Mshiriki kutoka Ghana Elikem
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...