Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Sunday, May 26, 2013

AIBU: WAZIRI WA MADINI AZOMEWA HIVI "CHURA...CHURA....CHURA" NA WAMACHINGA MJINI DODOMA JIONI YA JANA...!!


Katika hali isiyo ya kwaida jana jioni , waziri muhongo amepatwa na kadhia ya aina yake hapa Dodoma alipokuwa akitoka kwenye duka la madawa mjini kati. Vijana ambao wanasadikiwa kuwa madereva wa Bodaboda na wachuuzi, yaani wamachinga, walianza kumzomea kumuita “chura! Chura! Chura! Chura!” hali iliyompelekea Bw. Muhongo kutembea kwa haraka kuelekea kwenye gari iliyokuwa ikumsubiria pembezoni mwa barabara. Baada ya kufika kwenye gari, waliondoka kwa kasi ya ajabu kuelekea ofisi za bunge huku vijana wakiendele akumzomea !

MAONI.

Huu ni mwanzo mbaya kwa hawa viongozi wenye dharau na wakorofi wa CCM. Watazomewa sasa hivi mpaka watakoma. Huyu muhongo angejaribu kujifunza ustaarabu kutoka kwa Mawaziri wasaidizi wizara ya Nishati na madini waliomsaidia kujibu maswali

                                                            Chanzo:Boss Ngasa
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...