Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Tuesday, April 16, 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA JUMATANO-APRIL17 UPO HAPA


WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 17/04/2013.
[Mikoa ya Kagera, Mara, Mwanza na Shinyanga]:
[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Kigoma, na Tabora]:

Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua
[Mikoa ya Dodoma na Singida ]:
[Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Tanga]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
[Mikoa ya Mbeya na Rukwa]:


Hali ya mawingu kiasi, mvua katika maeneo machache na vipindi vya jua.
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]:
[Mikoa ya Iringa na Ruvuma]
[Mkoa wa Morogoro]

Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.

VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
23°C
12:36
D'SALAAM
31°C
12:23
DODOMA
29°C
12:37
KIGOMA
29°C
01:02
MBEYA
24°C
12:45
MWANZA
28°C
12:50
TABORA
28°C
12:50
TANGA
30°C
12:25
ZANZIBAR
30°C
12:23
PEMBA
31°C
12:25
MOROGORO
31°C
12:32

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani yote

Hali ya bahari:Inatarajiwa kuwa na mawimbi makubwa kiasi..

Matazamio kwa usiku wa leo Jumatano 17/04/2013: Mabadiliko kidogo.

Utabiri huu umetolewa leo tarehe 17/04/2013.


Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...