M'BUNGE WA UBUNGO KAMANDA JOHN MNYIKA APANDA DALADALA KUONA NINI UTAMU ULIOMO KWA WANANCHI WA HALI YA CHINI
Huu ndio Mfano wa kuiga inabidi Wabunge wawe karibu na Wananchi ili
waweze kuona Wananchi jinsi wanavyopata Shida ya Maisha yao ya kila siku
hongera Mbunge wa Ubungo Mheshmiwa JOHN MNYIKA