KWELI MTU CHAKE: TIZAMA MTOTO 'SAMBATH UON' MWENYE MIAKA SITA ANAVYOCHEZEA NYOKA MKUBWA BILA WASIWASI WOWOTE
Sambath Uon ni mtoto mwenye miaka sita (6) amefanya mambo ya kushangaza dunia anaishi katika kijiji cha Cambodia, Asia ya kusini pia nyoka huyu ana urefu wa mita 8m (26 ft) na uzito 180 kg (400 lb)