Pages

Saturday, April 27, 2013

KAKA YAKE ZITTO KABWE AFUNGUKA KUHUSU WANASIASA KUINGILIA SWALA LA KUVAMIWA KWA MAMA YAO

KAKA YAKE ZITTO KABWE AFUNGUKA KUHUSU WANASIASA KUINGILIA SWALA LA KUVAMIWA KWA MAMA YAO


"Nawaonya wanasiasa kuepuka kusema lolote kuhusu suala la kuvamiwa Kwa mama yetu. Familia haijamtuma Mtu yeyote kuwa msemaji wa familia kuhusu suala la usalama wa mama yetu. Tunalaani kitendo chochote kuhusu Maisha ya mama yetu kuingiliwa na wanasiasa. Hatutavumilia Kwa namna yeyote ile kuingiliwa katika jambo hili. Suala hili lipo polisi na tuache polisi wafanye uchunguzi.