Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Saturday, April 27, 2013

GATE TOWER BUILDING "Bee Hive" MOJA YA JENGO LENYE MVUTO KUTOKA NCHINI JAPAN

Moja ya Jengo lililo na mvuto Duniani Baada ya kuwa kivutio Kikubwa ambapo barabara inapita katikati ya jengo hilo. Jengo hilo linaitwa  Gate Tower Building "Bee Hive" lipo Fukushima katika Jiji la Osaka Nchini Japan.
Jengo hilo linamilikiwa na Kampuni ya Suezawa Sangyo Co., Ltd. na kujengwa na kampuni ya Sato Kogyo Co., Ltd.

Mmiliki wa Jengo hakutaka kupoteza jengo lake kwa kuliuza kwa kampuni ya Hanshin Expressway Company kwaajili ya kujenga barabara na hatima yake ikabidi kampuni ya Hanshin Expressway Company kukubaliana na Mwenye Jengo na kuamua Kupitisha barabara katikati ya Jengo na kupelekea Kuwa Moja ya Jengo lenye Mvuto Duniani
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...