Blogger Widgets

Social Icons

Pages

Tuesday, April 16, 2013

DKT. SHEIN AKUTANA NA UONGOZI OFISI YA MAKAMO WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR

IMG 9809Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) akizungumza na Uongozi wa
Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais , katika utekelezaji wa kazi za
Ofisi hiyo,katika Ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Zanzibar leo
jioni,
IMG_9781Baadhi ya Watendaji na maafisa wa Idara mbali mbali
katika Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais ,wakiwa katika Ukumbi wa
mikutano wa Ikulu Mjini Zanzibar,katika kikao cha Utekelezaji wa Kazi
za Ofisi hiyo chini ya mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani)
jioni leo,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
MIMG_9795

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais
Dk.Islam Seif Salum,(kushoto) akiwa na Wakurugenzi na maofisa wa
Idara mbali mbali ,katika Ukumbi wa mikutano wa Ikulu Mjini
Zanzibar,katika kikao cha Utekelezaji wa Kazi za Ofisi hiyo chini ya
Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) jioni leo,[Picha na Ramadhan
Othman,Ikulu.]
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...